Tapeli alivyoenda Benki kunirudishia fedha zangu!

Naitwa Naimani, unajua migogoro ya mashamba na viwanja ni mingi sana kwenye mahakama zetu, na yote inasababishwa na watu ambao si waaaminifu, mtu anaweza kuuza shamba lake leo, kisha kesho anamtafuta tena mtu mwingine na kumuuzia.

Nasema hivyo kwa sababu mimi ni miongoni mwa watu ambao wameweza kukumbana na changamoto hiyo, niliweza kununua kiwanja nje kidogo ya jiji la Dar es Salaam kwa fedha nyingi tu ambazo nilizikusanya kwa muda mrefu kama miaka mitano.

Wakati napambana niweze kupata fedha za kuanza ujenzi, nilishtuka kuona kiwanja changu kuna ujenzi mwingine umeanza, nilipoenda kumuuliza anayejenga, aliniambia na yeye kauziwa kiwanja hicho na nyaraka muhimu anazo.

Nilihisi kuchanganyikiwa kabisa, mwili uliishiwa nguvu maana fedha zangu nimezipata kwa kuhangaika usiku na mchana, kwa kujinyima sana, matokeo yake ndio haya?, ilikuwa ni vigumu sana kuweza kukabiliana na hali hiyo.

Kila ambapo nilijaribu kumpigia yule ambaye aliyeniuzia kiwanja kile namba yake ilikuwa haipatikana, nilijaribu kuchunguza na kuripoti kisa hicho Polisi, ndipo nikagundua mtu yule ni tapeli na amefanikiwa kuwatepeli watu wengi.

Binafsi nilishindwa nifanye kitu gani hasa, nilikuwa nashinda tu nyumbani nikiwa na mawazo, rafiki yangu mmoja alipata habari kuhusu mkasa huo, hivyo aliamua kuja nyumbani kunipa pole.

Aliniambia nisiwe na mashaka kwani kuna Kiwanga Doctors kutokea Migori nchini Kenya anaweza kunisaidia na kupata haki yangu, alichukua simu yake na kumpigia na kumueleza jambo hilo la kitapeli.

Nashukuru Kiwanga Doctors alinifanyia jambo ambalo kamwe siwezi kuja kulisahau katika maisha yangu, baada ya kunifanyia tiba zake (find lost items spell), siku chache mbele nilipata kupigiwa simu na Polisi na kuniambia yule mtu aliyenitapeli kakamatwa.

Niliweza kufika Polisi na kuonana naye, aliponiona tu alikiri ni kweli aliniuzia kiwanja ambacho alikuwa ameshakiuza kwa mtu mwingine, alikiri pale pale kuwa atarudisha fedha zangu zote na fidia ya usumbufu ulioweza kujitokeza.

Basi tulitoka pale Polisi na kwenda Benki na kunirudishia fedha zangu, kisha Polisi wakarudi naye kituoni kuendelea naye upande wa sheria maana watu wengi walikuwa wanamlalamikia kwa utapeli. Naweza kusema kama sio Kiwanga Doctors, basi fedha zangu zilikuwa zimekwenda na maji.

Ni watu wengi hadi sasa wamepata mafanikio na furaha kupitia huduma za Kiwanga Doctors ambao unaweza kuwasiliana na kwa namba +254 116469840 au tembelea tovuti yao kwa maelezo zaidi kuhusu huduma zao ambazo zimewasaidia wengi.

Share the Post:

Related Stories

Mume ampa mkewe mshahara wote kila mwezi, kisa?

Watu wengi wamekuwa wakisifia ndoa yangu na mume wangu, mahusiano yetu wamekuwa ni mfano wa kuigwa mbele ya jamii, mume wangu hajawahi kuwa na kashfa ya kutoka na mwanamke mwingine yoyote hapa mtaani...

Je, unataka bahati maishani mwako?, fanya haya

Kwenye kufanikiwa kimaisha kuna tegemea na mambo mengi sana, kufanya kazi kwa bidii au kujuana na watu wengi wenye uwezo katika eneo fulani hakutoshi kukuhakikishia kufanikiwa kimaisha. Na ukweli ni...

“Mahakama iliamuru mtoto akapimwe DNA” mrembo asimulia

Hakuna jambo huwaacha watoto njia panda kama ugomvi baina ya wazazi wao maana kuna muda hulazimika kuchagua upande, migogoro ndani ya ndoa imeacha majeraha makubwa sana katika nyoyo za watoto. Jina...

“Nilikuwa nalala na kiu” mrembo asimulia mazito

Hakuna taasisi ina siri kubwa kama ndoa jamani na hiyo ni kutokana na msingi wake wa kuanzishwa kwake, haifai hata kidogo kutoa siri za ndani ya ndoa kwa marafiki.   Hata hivyo, nikiri wazi kuna...

Unavyoweza kujikinga na wabaya wako!

Kitu ambacho hatuwezi kukipinga ni kusema kwamba hakuna maadui katika maisha yetu, ukweli ni kwamba maaduni wapo na wamekuwa wakifanya kazi usiku na mchana kuhakikisha maisha yetu wanarudi nyuma...

Huyu mwanamke kanisingizia mambo ya aibu sana!

Mimi ni kijana ambaye najishughulisha na biashara mbalimbali, katika maisha yangu nimejifunza kuwa mtu ambaye unamuamini sana ndiye anaweza kukufanyia jambo paya sana maishani ingawa kuna watu wazuri...

Je, unataka kuongezwa mshahara kazini kwako?, hafanya hili

Nyongeza ya mshahara ni jambo ambalo limekuwa likimvutia kila mfanyakazi katika kazi yake, ndivyo ilivyokuwa na kwangu mimi, kila mara nilikuwa nikituma maombi ya nyongeza ya mshahara lakini...

Dawa ya kuongeza mvuto wa mapenzi ilivyonisaidia

Naitwa Suma kutokea Mwanza, nimekuwa nikifanya kazi ya ujenzi maeneo mbalimbali hapa nchini na kweli nashukuru nimekuwa nikipata fedha nzuri ambayo inatosha kuendesha maisha yangu. Kwa sasa naendesha...

Huna haja ya kumlinda mwanaume katika ndoa, haya hili!

Ukweli ni kwamba wanawake wengi wamekuwa wanasalitiwa sana wanaume zao ndani ya ndoa jambo linaloacha maumivu makali katika nyoyo zao na kubakia na huzuni tu. Mimi sikutaka kitu kama hicho katika...