“Mwamechukua vyombo vyangu vyote vya ndani kisa madeni” simulizi

Naitwa Chazz kutokea Mbeya, kupindi cha nyuma nilikuwa nafanya kazi na kupokea kiasi kikubwa cha mshahara ila bado madeni yaliniandama sana, ilifika wakati nikahisi ya kuwa nimekuwa mtumwa wa kufanyia watu kazi.

Hiyo ni kwa sababu kila nilipopokea mshahara wote uliishia kwenye kulipa madeni na mimi kubakiwa na nauli tu ya kwenda kazini.

Kwa sababu hiyo, nilikuwa nalazimika tena kukopa baadhi ya vitu kama unga, mchele, sukari, gesi, mafuta ya kula na hata fedha ili kuweza kuendesha maisha yangu.

Kufika mwisho wa mwezi ambapo napokea tena mshahara, deni linakuwa limeongezeka kwa kiasi kikubwa hivyo najikuta mshahara ukiisha ndani ya siku mbili.

Ulifika wakati nikawa namlipa yule mtu ambaye anaonekana kunidai sana kwa fujo, kuna muda niliogopa hata kutembea mtaani maana kila kona yenye dukani nilikuwa nadaiwa.

Baada ya madeni kuwa mengi niliamua kuhama kwa siri usiku na kuhamia mtaa wa jirani, wadeni wangu waliamua kunifuata huko na kunikamatwa na kuchukua vitu vyangu vya ndani kama TV, sofa, meza na viti.

Hata hivyo, vitu hivyo havikutosha kulipa madeni ninayodaiwa, ilinibidi niende ofisini na kuomba kupatiwa mshahara wa miezi mitatu ili kulipa madeni yalikuwa yananikabili.

Nashukuru Bosi wangu alinielewa na kuniamini kisha akanipatia fedha hizo, nililipa madeni  na fedha zote zikaisha. Baada ya kubakia mtupu ilinibidi nihamie kwa kaka yangu nikaishi naye kwa muda.

Nilimueleza kuwa tatizo langu lilikuwa ni madeni kiasi kwamba nimeshindwa kufanya jambo lolote la kimaendeleo. Kaka yangu aliniambia nichukue namba ya Kiwanga Doctors katika simu yake kisha nimpigie na kumueleza kila kitu.

Nilifanya hivyo bila kusita, nashukuru Kiwanga Doctors kutokea Migori, Kenya alinisikiliza na kuniambia kuanzia sasa itakuwa ni historia kwangu kudaiwa, nakumbuka nilikaa na kaka yangu kwa miezi miwili na kurejea kwangu nikiwa sina deni lolote na mtu.

Tangu hapo nilikuwa napokea mshahara wangu na kuanza nao matumizi yangu, kuna kipindi mshahara ulikuwa unatoka na kukuta ule mwanzo bado upo tu. Nilikuwa naweza kukaa hata miezi miwili sijaenda Benki kuchukua mshahara wangu maana kipindi hiki sikuwa na madeni sehemu yoyote ile.

Ni watu wengi hadi sasa wamepata mafanikio, uponyaji na furaha kupitia huduma za Kiwanga Doctors ambao unaweza kuwasiliana na kwa namba +255 763 926 750 au tembelea tovuti yao, maelezo zaidi kuhusu huduma zao ambazo zimewasaidia wengi.

Share the Post:

Related Stories

Jamaa asimulia baba yake alivyotembea na mkewe!

Naitwa Jamal, siku moja niliingia kwenye chumba changu cha kulala na nikamkuta mke wangu kitandani na baba yangu, ni jambo ambalo lilikuwa kama kisu moyoni mwangu. Maumivu hayakuvumilika, ni fedheha...

“Mwamechukua vyombo vyangu vyote vya ndani kisa madeni” simulizi

Naitwa Chazz kutokea Mbeya, kupindi cha nyuma nilikuwa nafanya kazi na kupokea kiasi kikubwa cha mshahara ila bado madeni yaliniandama sana, ilifika wakati nikahisi ya kuwa nimekuwa mtumwa wa kufanyia...

Apoteza kazi kwa kutumia kopyuta ya ofisi kutazama video chafu

Jina langu ni Zai kutokea Ilala, mara baada ya Bosi wangu kuwa na chuki ya waziwazi kwangu, alifanya mambo mengi ya kunikomoa ikiwa ni pamoja na kuninyima likizo, kunikata mshahara kwa kosa ambalo...

Kisa tamaa ya mali amuua shemeji, sakata lachukua sura mpya

Kama miaka miwili na nusu iliyopita maisha yangu yalikuwa yakielekea katika mwelekeo ambao nilitabiri kwamba katika miaka mitatu ijayo ningekuwa mmoja wa matajiri wakubwa kutokana na biashara katika...

Atoroka baada ya kumpa ujauzito mama mkwe wake!

Kweli hapa duniani kuna mambo ya ajabu sana, katika hali ambayo haikutarajiwa, jamaa mmoja aitwaye, Emma Wambua, mkazi wa Manyatta amejipata katika hali mbaya iliyomfanya kutoroka nyumbani kwake kwa...

Siri ya mtoto wa Mama Lishe kufanya vizuri kimasomo

Naitwa Mama Judi, nimejaliwa kupata watoto wanne ambao bado kwa sasa wanasoma shule ya msingi, nawapenda sana watoto wangu wote na nimekuwa nikihakisha kuwa wanapata kila mahitaji hasa ya shuleni...

Jamaa achukua uamuzi mgumu kisa mkewe kumsusia

Jina langu Matata kutokea Arusha, baada ya mke wangu kuanza tabia ya kuninyima tendo la ndoa kwa kisingizio kuwa amechoka na shughuli za kila siku, nilianza kupata wasiwasi kuhusu mwenendo wa tabia...

Tafrani mpangaji akijimilikisha nyumba isiyo yake!

Jina langu Zakayo kutokea Musoma, Baba yetu aliamua kujenga nyumba kubwa mbili kwa ajili ya watoto wake ili hapo baadaye tusije kuteseka katika maisha ya kulipa kodi, kila mtoto alipewa yake, mimi na...

Ijue siri ambayo wafanyabiashara wengi hawaisemi

Katika kutafuta kwangu nimekuja kugundua ya kuwa kila Mfanyabiashara anakuwa na siri yake ya mafanikio, ni wachache sana ambazo wanaweza kuzungumza wazi wazi jinsi ambavyo wamekuza biashara zao...