“Magari yote niliyokua nayo ilinibidi niyauze,” jamaa asimulia

Mke wangu ambaye tulikua tumekaa kwenye ndoa kwa miaka minne, siku moja aliamka na kuniarifu ameamua kunipa talaka, kisa cha kufanya hivyo ni kwa sababu sina fedha za kuweza kumlinda na kumtunza kama inavyohitajika.

Nilipigwa na butwaa mbona aliamua kufanya hivyo kwani tulikuwa tumekaa naye kwenye ndoa kwa miaka minne bila hayo mambo ya talaka kuwahi  kutokea.

Aliponipa talaka hapo ndipo nilipogundua kuwa wanawake wengi humpenda mume kwa kuwa ana fedhaa na wakati utakapokosa kupata hizo fedha hapo ndipo atakapokuacha kuenda kumtafuta mume mwingine.

Sikuwahi kudhani kuwa mke wangu Stella niliyempenda na kumdhamini kwa kiasi hicho angeweza kunipa talaka, kabla ya hayo kutokea tulikuwa tunaishi maisha mazuri yenye furaha na upendo mtupu, mapenzi yetu yalichacha sana, mara kwa mara!.

Alionekana kuwa mwenye furaha na kutaka kuwa name kila wakati, kwa kuwa nilikua na hela, niligundua kuwa siyo mimi aliyenipenda bali alizipenda hela nilizokua mfukomi mwangu, mara kwa mara alipowasiliana nami angeniagiza hela za kunua vipodozi, mavazi na vitu vingine vingi.

Jambo hilo lilinifanya kumjua  ni mtu mpenda mali na nilikuwa na ufahamu kuwa siku moja mwanamke huyo angeweza kunitelekeza, japo kwa asilimia chache mno, hivyo singeweza kumtupilia mbali wakati huo.

Nilikuwa Mkurugenzi Mkuu wa kampuni moja nchini kwa wakati huo, ghafla kazi ilikuja ikaisha bila kutarajia, kazi hiyo ilikuwa ndiyo kila kitu maishani na kwa kiwango kikubwa iliweza kugharamia matumizi yangu na ya familia yangu, nilipofutwa kazi nilikosa hela hata za kulipa kodi jambo lililonibidi kujaribu kutafuta maisha ya chini kwani maisha niliyokua naishi hapo awali singeweza kuyamudu.

Kwanza kabisa nilihama jumba la kifahari nilipokuwa naishi kwenye mtaa wa kifahari wa Masaki na kurudi kwenye vitongoji duni vya Tandale, magari yote niliyokua nayo ilinibidi niyauze kuweza kupata hela za matumizi.

Maisha yalikua kizungumkuti, tulipohamia kwenye kitongoji duni, hapo ndipo mke wangu alinifahamisha ya kuwa ananipa talaka, kwani hangeweza kuishi maisha hayo, aliniarifu kuwa mapenzi bia hela si mapenzi na ameamua kuniacha kuenda kutafuta mwanaume atakayeweza.

Alinitaliki na dharau kubwa ambalo sikuwahi tarajia lingetokea, nilijaribu kumuomba asiniache kwani bahati ya mtu haijulikani na siku moja yote yangekua sawa lakini sikio la kufa halisiki dawa hakutaka kusikiza yeyote yaliyotoka kinywani mwangu.

Nilimuacha aende zake japo nilikua na mawazo mengi sana,nilijaribu kufanya biashara lakini yote hayo hayakufua dafu, maisha yalinizidi ujanja nikabaki kuwa ombaomba kwa marafiki.

Siku moja nilipokuwa mtandaoni nilikutana na wavuti ya Kiwanga Doctors, baada ya kuangalia kwa undani niliona kuwa walikua na uwezo wa kuileta heri njema maishani mwa mja.

Bila kusita nilimpigia simu Kiwanga Doctors  na kuweza kuagiza siku ya kukutana naye, siku iliyofuata nilikutana naye na kumweleza shida zangu zote aliniarifu kuwa nilikuwa nafuatwa na heri mbaya kutoka kwa familia na yote yangekua sawa.

Siku chache baadaye niliweza kupigiwa simu na kampuni moja ya mawasiliano ya simu za mkononi kuwa wamenipa kazi ya Meneja Mkuu.

Niliyarejelea maisha yangu ya kawaida yenye utajiri, mke wangu alirejea baadaye na kuniomba msamaha kwa yote alionitendea.

Basi chukua hatua muhimu leo hii kwa kuwasiliana na Kiwanga Doctors kupitia namba +255618536050 au tembelea tovuti yao, kwa maelezo zaidi kuhusu huduma zao ambazo zimewasaidia wengi katika eneo zima la Afrika Mashariki na Kati.

Share the Post:

Related Stories

Siri ya mtoto wa Mama Lishe kufanya vizuri kimasomo

Naitwa Mama Judi, nimejaliwa kupata watoto wanne ambao bado kwa sasa wanasoma shule ya msingi, nawapenda sana watoto wangu wote na nimekuwa nikihakisha kuwa wanapata kila mahitaji hasa ya shuleni...

Jamaa achukua uamuzi mgumu kisa mkewe kumsusia

Jina langu Matata kutokea Arusha, baada ya mke wangu kuanza tabia ya kuninyima tendo la ndoa kwa kisingizio kuwa amechoka na shughuli za kila siku, nilianza kupata wasiwasi kuhusu mwenendo wa tabia...

Tafrani mpangaji akijimilikisha nyumba isiyo yake!

Jina langu Zakayo kutokea Musoma, Baba yetu aliamua kujenga nyumba kubwa mbili kwa ajili ya watoto wake ili hapo baadaye tusije kuteseka katika maisha ya kulipa kodi, kila mtoto alipewa yake, mimi na...

Ijue siri ambayo wafanyabiashara wengi hawaisemi

Katika kutafuta kwangu nimekuja kugundua ya kuwa kila Mfanyabiashara anakuwa na siri yake ya mafanikio, ni wachache sana ambazo wanaweza kuzungumza wazi wazi jinsi ambavyo wamekuza biashara zao...

Mama mwenye nyumba kanitongoza, nishindwa nimjibu vipi!

Katika haya maisha unajua kuna mambo yanaweza kukutokea hadi wewe mwenyewe ukawa unashangaa maana yake ni ipi hasa, ndicho nilichonikuta mimi pale ambapo mama mwenye nyumba aliponiita nyumbani na...

Unataka kuwa kiongozi wenye ushawishi?, fanya haya

Hakuna kitu kizuri katika maisha au jamii kama kuwa na nguvu ya ushawishi, hiki ni kitu ambacho kila mtu anapenda kuwa nacho ingawa wanasiasa mara nyingi ndio huwa ukitamani ili waweze kufanya siasi...

Tamaa za ujana zilivyonipa kisonono!

Kwa hakika tamaa za ujana ni mbaya sana, na yeyote anayejaribu kukidhi tamaa zake za ujana kwa pupa ni lazima utapata tabu sana kama ambavyo zilinikuta na mimi miaka ya nyuma. Jina langu ni Dulla...

Nilivyoshinda mkosi wa kukimbiwa na wanawake!

Ukweli ni kwamba huku duniani kuna mikosi ya kila namna, mikosi ni mfululizo wa visa vibaya ambavyo vinaweza kuwa vinajirudia kila wakati na bila kujua sababu ni nini hasa. Mathalani kuna mtu kila...

Jinsi ya kujikinga na dhulma katika kazi au ajira

Hakuna ubishi kuwa kila binadamu ana ndoto kubwa za kufanikiwa kimaisha, lakini ukweli ni kwamba sio kila mwenye ndoto inaweza kutimia na pengine inaweza kutimia ila kwa kuchelewa sana. Ndivyo maisha...