Huu ni msaada kwa wanaokataliwa kila wakitongoza

Waswahili husema kutongoza ni aina nyingine ya sanaa ambayo inahitaji ujuzi pia, kwa kawaida wanawake wanahitaji na kupenda maneno matamu yenye ushawishi kutoka kwa wanaume.

Hata hivyo, sio wanaume wote wanaweza kufanya kitendo hicho cha ujasiri, wengi huishia kukaa kimya na hitaji lao moyoni, wengi huwaita wanaume wa namna hiyo domo zege.

Lakini kuna wanaume ambao wana ujasiri wa kutosha lakini imekuwa ni ngumu kwao kukubaliwa na wanawake warembo wale ambao wanapenda. Mimi pia nilikuwa na changamoto hiyo, kila mrembo ambaye nilikuwa nasimama naye na kumueleza haja ya moyo wangu kwake alikuwa akinikataa.

Nilimueleza rafiki yangu mmoja kuhusu hilo, akaniambia nitakuwa na mikosi, hivyo nikaoge maji ya baharini asubuhi na mapema kwa wiki mmoja mfululizo na baada ya hapo nitakuwa sawa.

Hata hivyo, hakuna mabadiliko yoyote niliyoyaona, kila mrembo ambaye hata nilimuomba namba ya simu alikuwa akininyima, hata wanawake ambao wanaume wengine ambao wamekuwa wakisema ni warahisi, nao walikuwa wanasema mimi sio ‘type’ yao.

Ilifikia wakati nikakata tamaa huku nikiwa na hofu kama kweli kuna siku nitapata mwanamke wa kumuoa, roho ilikuwa inaniuma sana maanna kila rafiki yangu alikuwa na mpenzi wake lakini nilisalia kuwa pekee yangu.

Siku moja nikiwa natazama video YouTube niliona tangazo la Kiwanga Doctors likieleza kuwa anaweza kumfanya mtu akawa na mvuto wa kimapenzi, nilichukua namba yake na kuwasiliana naye, aliniambia ndani ya siku tatu nitaanza kupata matokeo mazuri.

Kesho yake usiku nilipokea simu kutoka kwa dada mmoja ambaye nilimfuatilia kwa miaka miwili akiwa ananikataa, aliniambia ameamua kunikubalia ombi langu na sasa anataka kuwa na mimi.

Usiku ule nilipokea simu za warembo kama wanne wote wakisema wanahitaji kuwa na mimi, nilishindwa kujua ni kipi hasa nimenitendekea.

Toka wakati huko kila mrembo ninaye kutana naye barabarani anaonyesha kuvutia na mimi, na wengine huamua kabisa kuwa na ujasiri na kuniomba namba ya simu.

Huko kwenye mitandao ya kijamii ndio hali huwa hatari kabisa, kila nikiposti picha wanakuja kutoa ‘comment’ nzuri kunisifia kuwa mimi ni kijana mtanashati na kutaka niwapatia namba yangu ya simu.

Namshukuru Kiwanga Doctors kwa tiba hiyo murua aliyonipatia na hapa sasa naweza kumchangua mrembo mmoja mwenye viwango nifunge naye ndoa.

Ikiwa unapitia kitu kama hicho, ninakushauri kuwa fika au wasiliana na Kiwanga Doctors. Tiba zao zinafanya kazi haraka na wanaweza kukusaidia katika changamoto mbalimbali za kimaisha, kuanzia masuala ya uhusiano hadi matatizo ya kiafya.

Basi chukua hatua muhimu leo hii kwa kuwasiliana na Kiwanga Doctors kupitia namba +255618536050 au tembelea tovuti yao, kwa maelezo zaidi kuhusu huduma zao ambazo zimewasaidia wengi katika eneo zima la Afrika Mashariki na Kati.

Share the Post:

Related Stories

Wezi Walivamia Duka Langu Usiku… Siku 7 Baadaye, Nyuki Wakawatambua kwa Ajabu

Siku moja asubuhi mapema, nilifika kazini kama kawaida. Lakini kabla hata sijafungua mlango wa duka langu, nilihisi kitu kimeenda kombo. Mlango ulikuwa wazi nusu, na ndani palikuwa pamevurugwa kama...

Je, unateswa na upotevu wa fedha?, fanya hivi

Hakuna mtu anayependa kuona fedha zake zinapotea bila ya yeye kuzifanyia shughuli yoyote ya kimaendeleo katika maisha yake, kila mtu anataka kuona fedha yake inatoka kihalali kabisa. Jina langu ni...

“Usiku sikuweza kupata usingizi kabisa,” jamaa asimulia

Jina langu ni Juma kutokea Pwani, ninaishi na mchumba wangu tangu mwaka 2022, katika maisha yangu hakuna ugonjwa ambao umewahi kunitesa kama Kaswende, niliumwa kiasi kwamba nikakata tamaa ya kuishi...

Biashara itakavyoweza kubadilisha maisha yako!

Jina langu Athumani kutokea Dar es Salaam, jiji ambalo limechangamka zaidi kibiashara hapa nchini ambalo vijana wengi wanapenda kuja kuishi na kutafuta fursa za kazi au ajira. Kila mfanyabiashara kiu...

Suluhisho la migogoro ya ndoa ni hili

Hakuna jambo huwaacha watoto njia panda kama ugomvi baina ya wazazi wao maana kuna muda hulazimika kuchagua upande, migogoro ndani ya ndoa imeacha majeraha makubwa sana katika nyoyo za watoto. Jina...

Nilivyoamka na Sh3 milioni ambayo sijui imetoka wapi?

Kwenye kufanikiwa kimaisha kuna tegemea na mambo mengi sana, kufanya kazi kwa bidii au kujuana na watu wengi wenye uwezo katika eneo fulani hakutoshi kukuhakikishia kufanikiwa kimaisha. Na ukweli ni...

Mbinu ya kupangilia uzazi kwa wanawake

Habari yako mdau wa Kiwanga Doctors?, jina langu ni Censia, ni mama wa watoto sita, niliolewa na mume wangu, Dida miaka nane iliyopita, tunaishi moja ya vijiji katika mkoa wa mkoa wa Kilimanjaro...

Nilivyopona Ugonjwa wa Ajabu Baada ya Mume Wangu Kulala na Mwanamke wa Ajabu

Miaka miwili iliyopita, maisha yangu yalibadilika ghafla. Nilikuwa mwanamke mwenye nguvu, mwenye afya njema, na mwenye furaha ya ndoa. Lakini siku moja, kila kitu kilianza kwenda mrama bila sababu...

Unavyoweza kukabiliana na migogoro ya mali

Katika familia yetu tumezaliwa watoto 12, wakiume tukiwa saba, huku wa kike wakiwa ni watano. Tuliishi upendo kama ndugu maana ndivyo wazazi wetu walikuwa wanatusisitizia kila wakati. Jina langu ni...