Kwenye ndoa kuna kiba baba wa ajabu sana!

Naitwa Saida kutokea Pwani, ni mama wa watoto wanne kwa sasa, nimekaa kwenye ndoa kwa zaidi ya miaka nane, kwa kipindi chote nimekumbana na changamoto nyingi sana ambazo zimeacha kovu katika moyo wangu.

Nakumbuka mimi na mume wangu tulianza kugombana pindi nilipojifungua mtoto wangu wa tatu, mume wangu alionekana kutokuwa na furaha kama ambavyo ilikuwa kwa watoto wetu wa mwanzo.

Unajua hakuna jambo huwaacha watoto njia panda kama ugomvi baina ya wazazi wao maana kuna muda hulazimika kuchagua upande, migogoro ndani ya ndoa imeacha majeraha makubwa sana katika nyoyo za watoto.

Binafsi nilishindwa kuelewa nini tatizo, mwanzo nilihisi labda kuna mambo ya kazini yanamsumbua lakini nikaja kugundua sio kweli mara baada ya kuambiwa na moja ya marafiki zangu kuwa mume wangu amesema mtoto huyo sio damu yake.

Ni suala ambalo liliniumiza sana kiasi ambacho nilianza kulia machozi, kama ni hivyo kwanini asingeongea na mimi kwanza, kwanini akanitangaze huko nje. Aliporejea nyumbani sikutaka hata salamu yake, hapo hapo nilimuuliza kuhusu jambo hilo na akasema ameongea ukweli kabisa.

“Ni kweli mimi ndiye nimeongea maneno hayo, kwani wewe unaona huyo mtoto kafana na mimi kama hawa wengine?, naona ulikuwa na mchepuko nje na ndio umeamua kuzaa naye mtoto huyo,” aliniambia mume wangu.

Kusema kweli ugomvi ulikuwa mkubwa kiasi kwamba hadi majirani waliingilia kati, nilikuwa mwenye hasira maana jambo hilo lilikuwa sio la kweli, hadi wazazi waliingilia kati lakini hakuna suluhu iliyopatikana.

Mwisho wa siku ukoo uliamua kila mmoja alale chumba chake maana hatuwezi kutengana tukiwa tayari tuna watoto wengine, walijua tukiendelea kuishi hivyo kuna tutapatana.

Licha ya kulala kila mtu chumba chake, bado migogoro ndani haikuisha, mume wangu alionekana kumtenga sana huyu mtoto wa mwisho kiasi kwamba roho yangu iliniuma sana.

Mgogoro huu uliendelea hadi mtoto huyu anafikisha miaka mitano, ndipo nikachoka nikaamua kwenda kufungua kesi mahakamani ili ukweli uwekwe wazi na nafasi yangu iwe huru maana nimechoka maneno ya kashfa.

Mahakama iliamuru Baba na mtoto wakapimwe DNA, baada ya vipimo majibu yalionyesha mume wangu ni Baba halali kabisa wa mtoto huyu anayesema sio wake. Hata hivyo, mume wangu hakuridhika na majibu hayo na kusema si ya kweli jambo ambalo sikutegemea, nilidhani baada ya vipimo mambo yatakuwa shwari.

Basi nakumbuka siku moja nikiwa ofisini nilichukua gazeti nililolikuta juu ya meza yangu na kuanza kulipitia, ndipo nilipokutana na Kiwanga Doctors ambaye naweza kusema ndiye ameiponya ndoa yangu na kurejesha furaha iliyopotea kwa miaka sita.

Tangazo lake gazetini lilieleza kuwa anaweza kusuluhisha migogoro ya ndoa ndani ya siku chache tu, nilishawishika kuchukua  namba yake ambayo ni +254 116 469840, niliwasiliana naye na kumueleza kila kitu ambacho kinanisumbua.

Hadi sasa nikiri kuwa tangu tangu nimewasiliana naye, ugomvi ndani ya nyumba umeisha kabisa, na mume wangu aliamua kuitisha kikao cha ukoo na kuomba radhi kwa yote yaliyotokea na kukiri kuwa yule ni mtoto wake halali kabisa.

Nakumbuka siku niliyozungumza na Kiwanga Doctors aliniambia kuwa anaweza kumrudisha mume, mke au mpenzi aliyeondoka kwako, kukusaidia kumpata mume au mke, kuwa na mvuto wa kimapenzi, kupandisha cheo na mshahara kazini n.k.

Basi chukua hatua muhimu leo hii kwa kuwasiliana na Kiwanga Doctors kupitia namba +254 116 469840 au tembelea tovuti yao, www.kiwangadoctors.co.tz kwa maelezo zaidi kuhusu huduma zao ambazo zimewasaidia wengi.

Share the Post:

Related Stories

Unataka kuwa kiongozi wenye ushawishi?, fanya haya

Hakuna kitu kizuri katika maisha au jamii kama kuwa na nguvu ya ushawishi, hiki ni kitu ambacho kila mtu anapenda kuwa nacho ingawa wanasiasa mara nyingi ndio huwa ukitamani ili waweze kufanya siasi...

Tamaa za ujana zilivyonipa kisonono!

Kwa hakika tamaa za ujana ni mbaya sana, na yeyote anayejaribu kukidhi tamaa zake za ujana kwa pupa ni lazima utapata tabu sana kama ambavyo zilinikuta na mimi miaka ya nyuma. Jina langu ni Dulla...

Nilivyoshinda mkosi wa kukimbiwa na wanawake!

Ukweli ni kwamba huku duniani kuna mikosi ya kila namna, mikosi ni mfululizo wa visa vibaya ambavyo vinaweza kuwa vinajirudia kila wakati na bila kujua sababu ni nini hasa. Mathalani kuna mtu kila...

Jinsi ya kujikinga na dhulma katika kazi au ajira

Hakuna ubishi kuwa kila binadamu ana ndoto kubwa za kufanikiwa kimaisha, lakini ukweli ni kwamba sio kila mwenye ndoto inaweza kutimia na pengine inaweza kutimia ila kwa kuchelewa sana. Ndivyo maisha...

Mvuto wa kimapenzi alivyonipatia utajiri

Jina langu ni Majaliwa kutokea Mombasa nchini Kenya, ni Baba wa familia, mimi na mke wangu katika miaka sita ya ndoa yetu tumejaliwa kupata watoto wawili, mmoja wa kiume na mwingine wa kike...

Kutoka mwanzo mgumu wa biashara hadi kufanikiwa!

Ukweli ni kwamba kila mfanyabiashara ambaye unaona amefanikiwa, ana siri kuhusu mafanikio, kuna jambo la muhimu nyuma ya pazia katika yale mafanikio yake, na sio wote wapo tayari kuzungumzia hilo...

Mume ampa mkewe mshahara wote kila mwezi, kisa?

Watu wengi wamekuwa wakisifia ndoa yangu na mume wangu, mahusiano yetu wamekuwa ni mfano wa kuigwa mbele ya jamii, mume wangu hajawahi kuwa na kashfa ya kutoka na mwanamke mwingine yoyote hapa mtaani...

Je, unataka bahati maishani mwako?, fanya haya

Kwenye kufanikiwa kimaisha kuna tegemea na mambo mengi sana, kufanya kazi kwa bidii au kujuana na watu wengi wenye uwezo katika eneo fulani hakutoshi kukuhakikishia kufanikiwa kimaisha. Na ukweli ni...

“Mahakama iliamuru mtoto akapimwe DNA” mrembo asimulia

Hakuna jambo huwaacha watoto njia panda kama ugomvi baina ya wazazi wao maana kuna muda hulazimika kuchagua upande, migogoro ndani ya ndoa imeacha majeraha makubwa sana katika nyoyo za watoto. Jina...